Nehemia 11:22 BHN

22 Kiongozi wa Walawi waliokaa mjini Yerusalemu alikuwa, Uzi, mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika wa ukoo wa Asafu, waliokuwa waimbaji, viongozi waangalizi wa shughuli za nyumba ya Mungu.

Kusoma sura kamili Nehemia 11

Mtazamo Nehemia 11:22 katika mazingira