Nehemia 12:45 BHN

45 kwa sababu walifanya ibada ya Mungu wao na ibada ya utakaso, kama waimbaji walivyoimba hata walinzi wa malango kulingana na agizo la mfalme Daudi na Mfalme Solomoni mwanawe.

Kusoma sura kamili Nehemia 12

Mtazamo Nehemia 12:45 katika mazingira