Nehemia 4:15 BHN

15 Maadui waliposikia kwamba njama zao tumezigundua na kuwa Mungu amevuruga njama hizo, ndipo sisi sote tulipourudia ukuta, kila mmoja akaendelea na kazi yake.

Kusoma sura kamili Nehemia 4

Mtazamo Nehemia 4:15 katika mazingira