Nehemia 5:12 BHN

12 Wao wakaitikia na kusema, “Tutawarudishia na hatutawadai chochote. Tutafanya kama ulivyosema.” Nikawaita makuhani mbele, na viongozi wote wakaapa mbele ya makuhani kufanya kama walivyoahidi.

Kusoma sura kamili Nehemia 5

Mtazamo Nehemia 5:12 katika mazingira