Sefania 3:6 BHN

6 Mwenyezi-Mungu asema:“Nimeyafutilia mbali mataifa;kuta zao za kujikinga ni magofu.Barabara zao nimeziharibu,na hamna apitaye humo.Miji yao imekuwa mitupu,bila watu, na bila wakazi.

Kusoma sura kamili Sefania 3

Mtazamo Sefania 3:6 katika mazingira