Waamuzi 1:4 BHN

4 Basi, watu wa kabila la Yuda wakaenda kufanya mashambulio, naye Mwenyezi-Mungu akawatia Wakanaani na Waperizi mikononi mwao, wakawaua watu 10,000 katika vita huko Bezeki.

Kusoma sura kamili Waamuzi 1

Mtazamo Waamuzi 1:4 katika mazingira