Waamuzi 13:20 BHN

20 Basi, wakati Manoa na mkewe walipokuwa wanatazama miali ya moto ikipanda juu mbinguni kutoka madhabahuni, walimwona malaika katika miali hiyo akipanda kwenda mbinguni. Basi Manoa na mkewe wakasujudu.

Kusoma sura kamili Waamuzi 13

Mtazamo Waamuzi 13:20 katika mazingira