Waamuzi 13:24 BHN

24 Kisha mkewe Manoa akajifungua mtoto wa kiume, naye Manoa akampa jina Samsoni. Mtoto huyo akakua naye Mwenyezi-Mungu akambariki.

Kusoma sura kamili Waamuzi 13

Mtazamo Waamuzi 13:24 katika mazingira