Waamuzi 15:19 BHN

19 Mungu akafungua mahali palipokuwa na shimo huko Leki, akatiririsha maji. Samsoni akanywa maji hayo na nguvu zake zikamrudia. Chemchemi hiyo ikaitwa En-hakore; nayo iko huko Lehi mpaka leo.

Kusoma sura kamili Waamuzi 15

Mtazamo Waamuzi 15:19 katika mazingira