Waamuzi 16:15 BHN

15 Delila akamwambia Samsoni, “Unawezaje kusema kuwa unanipenda na moyo wako hauko pamoja nami? Umenidhihaki sasa mara tatu. Hujaniambia asili ya nguvu zako iko wapi.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:15 katika mazingira