Waamuzi 16:28 BHN

28 Hapo Samsoni akamwomba Mwenyezi-Mungu: “Bwana Mwenyezi-Mungu nakuomba unikumbuke. Nitie nguvu, mara hii moja tu, ee Mungu, ili niwalipize kisasi mara moja hii tu Wafilisti ambao waliyangoa macho yangu mawili.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 16

Mtazamo Waamuzi 16:28 katika mazingira