Waamuzi 20:13 BHN

13 Sasa tupeni hao watu mabaradhuli wa Gibea ili tuwaue na kutokomeza uovu huu kutoka Israeli.” Lakini watu wa kabila la Benyamini hawakuwasikiliza ndugu zao, Waisraeli.

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:13 katika mazingira