Waamuzi 20:23 BHN

23 Basi Waisraeli wakaenda juu, wakamlilia Mwenyezi-Mungu mpaka jioni. Kisha wakaomba shauri kwa Mwenyezi-Mungu: “Je, twende tena kupigana na ndugu zetu, wa kabila la Benyamini?” Mwenyezi-Mungu akawajibu, “Nendeni mkapigane nao.”

Kusoma sura kamili Waamuzi 20

Mtazamo Waamuzi 20:23 katika mazingira