Waamuzi 3:28 BHN

28 Akawaambia, “Mnifuate, maana Mwenyezi-Mungu amewatia adui zenu Wamoabu mikononi mwenu.” Wakamfuata mpaka kivuko cha Yordani na kukiteka toka mikononi mwa Wamoabu, wakazuia mtu yeyote kupita.

Kusoma sura kamili Waamuzi 3

Mtazamo Waamuzi 3:28 katika mazingira