Waamuzi 3:31 BHN

31 Baada ya Ehudi mwana wa Anati, Shamgari alishika nafasi yake. Yeye aliwaua Wafilisti 600 kwa fimbo ya kuchungia ng'ombe. Naye pia aliwakomboa Waisraeli.

Kusoma sura kamili Waamuzi 3

Mtazamo Waamuzi 3:31 katika mazingira