Waamuzi 9:13 BHN

13 Lakini mzabibu ukajibu, ‘Mnadhani naweza kuacha shughuli yangu ya kuzalisha divai ambayo hufurahisha miungu na wanadamu, niende kujisumbua kuitawala miti?’

Kusoma sura kamili Waamuzi 9

Mtazamo Waamuzi 9:13 katika mazingira