13 Enyi makuhani, jivikeni magunia kuomboleza,lieni enyi wahudumu wa madhabahu.Ingieni hekaluni mkaomboleze usiku kucha!Sadaka za nafaka na kinywaji zimetoweka nyumbani kwa Mungu.
Kusoma sura kamili Yoeli 1
Mtazamo Yoeli 1:13 katika mazingira