Yoeli 2:26 BHN

26 Mtapata chakula kingi na kutosheka;mtalisifu jina la Mwenyezi-Mungu, Mungu wenu,aliyewatendea mambo ya ajabu.Watu wangu, kamwe hawatadharauliwa tena.

Kusoma sura kamili Yoeli 2

Mtazamo Yoeli 2:26 katika mazingira