Yoeli 2:3 BHN

3 Kama vile moto uteketezavyojeshi hilo laharibu kila kitu mbele yakena kuacha nyuma kila kitu kinateketezwa;kabla hawajapita, nchi ni kama bustani ya Edeni,lakini wakisha pita, ni jangwa tupu.Hakuna kiwezacho kuwaepa!

Kusoma sura kamili Yoeli 2

Mtazamo Yoeli 2:3 katika mazingira