Zekaria 1:14 BHN

14 Basi, huyo malaika akaniambia, “Unapaswa kutangaza kwa sauti kwamba Mwenyezi-Mungu wa majeshi asema hivi: ‘Moyo wangu umejaa upendo kwa mji wa Yerusalemu, naam, kwa mlima Siyoni.

Kusoma sura kamili Zekaria 1

Mtazamo Zekaria 1:14 katika mazingira