Zekaria 10:1 BHN

1 Mwombeni Mwenyezi-Mungu awape mvua za masika.Mwenyezi-Mungu ndiye aletaye mawingu ya mvua;ndiye awapaye watu mvua za rasharasha,na kustawisha mimea shambani kwa ajili ya wote.

Kusoma sura kamili Zekaria 10

Mtazamo Zekaria 10:1 katika mazingira