Zekaria 10:2 BHN

2 Vinyago vyao vya kupigia ramli ni upuuzi mtupu,na waaguzi wao wanaagua uongo;watabiri wao wanatabiri ndoto za danganyifu,na kuwapa watu faraja tupu.Ndio maana watu wa Yuda wanatangatanga kama kondoo;wanataabika kwa kuwa wamekosa mchungaji.

Kusoma sura kamili Zekaria 10

Mtazamo Zekaria 10:2 katika mazingira