Zekaria 10:11 BHN

11 Watapitia katika bahari ya mateso,nami nitayapiga mawimbi yake,na vilindi vya maji ya mto Nili vitakauka.Kiburi cha Ashuru kitavunjwana nguvu za Misri zitatoweka.

Kusoma sura kamili Zekaria 10

Mtazamo Zekaria 10:11 katika mazingira