5 Watu wa Yuda watakuwa kama mashujaa vitaniwatawakanyaga maadui zao katika tope njiani.Watapigana kwa kuwa mimi Mwenyezi-Mungu nipo pamoja nao;nao watawaaibisha hata wapandafarasi.
Kusoma sura kamili Zekaria 10
Mtazamo Zekaria 10:5 katika mazingira