Zekaria 11:5 BHN

5 Wanunuzi wao wanawachinja lakini hawaadhibiwi; na wauzaji wao wanasema, ‘Na ashukuriwe Mwenyezi-Mungu! Sasa tumetajirika’. Hata wachungaji wenyewe hawawaonei huruma.

Kusoma sura kamili Zekaria 11

Mtazamo Zekaria 11:5 katika mazingira