Zekaria 11:6 BHN

6 Mimi Mwenyezi-Mungu nasema kwamba, sitawahurumia tena wakazi wa dunia. Nitamwacha kila mtu mikononi mwa mwenzake, na kila raia mikononi mwa mfalme wake. Nao wataiangamiza dunia, nami sitamwokoa yeyote mikononi mwao.”

Kusoma sura kamili Zekaria 11

Mtazamo Zekaria 11:6 katika mazingira