Zekaria 2:11 BHN

11 Mataifa mengi yatajiunga nami Mwenyezi-Mungu, nao watakuwa watu wangu; nami nitakaa kati yenu.” Mambo hayo yatakapotukia ndipo mtakapojua kuwa Mwenyezi-Mungu wa majeshi ndiye aliyenituma kwenu.

Kusoma sura kamili Zekaria 2

Mtazamo Zekaria 2:11 katika mazingira