Zekaria 7:5 BHN

5 “Waambie wakazi wote wa nchi na makuhani hivi: ‘Kwa muda wa miaka sabini iliyopita, nyinyi mmekuwa mkifunga na kuomboleza mnamo mwezi wa tano na wa saba. Je, mnadhani mlifunga kwa ajili yangu?

Kusoma sura kamili Zekaria 7

Mtazamo Zekaria 7:5 katika mazingira