Zekaria 8:17 BHN

17 Mtu yeyote miongoni mwenu asikusudie kutenda uovu dhidi ya mwenzake, wala msiape uongo, maana nayachukia sana matendo hayo. Mimi Mwenyezi-Mungu nimesema.”

Kusoma sura kamili Zekaria 8

Mtazamo Zekaria 8:17 katika mazingira