Mt.
Sura 25:1-4
Swahili Union Version
1 Ndipo ufalme wa mbinguni utakapofanana na wanawali kumi, waliotwaa taa zao, wakatoka kwenda kumlaki bwana arusi.
2Watano wao walikuwa wapumbavu, na watano wenye busara.
3Wale waliokuwa wapumbavu walizitwaa taa zao, wasitwae na mafuta pamoja nao;
4bali wale wenye busara walitwaa mafuta katika vyombo vyao pamoja na taa zao.