Mt. 6:24 SUV

24 Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.

Kusoma sura kamili Mt. 6

Mtazamo Mt. 6:24 katika mazingira