Mt. 9:17 SUV

17 Wala watu hawatii divai mpya katika viriba vikuukuu; na kama wakitia, vile viriba hupasuka, divai ikamwagika, na viriba vikaharibika; bali hutia divai mpya katika viriba vipya, vikahifadhika vyote.

Kusoma sura kamili Mt. 9

Mtazamo Mt. 9:17 katika mazingira