2 Fal. 1:10 SUV

10 Eliya akajibu, akamwambia yule akida wa hamsini, Ikiwa mimi ni mtu wa Mungu, na ushuke moto kutoka mbinguni, ukuteketeze wewe na hamsini wako. Moto ukashuka, ukamteketeza, yeye na hamsini wake.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 1

Mtazamo 2 Fal. 1:10 katika mazingira