2 Fal. 10:21 SUV

21 Yehu akatuma wajumbe katika Israeli yote, nao wote waliomwabudu Baali wakaja, wala hakusalia mtu ye yote asiyekuja. Wakaingia nyumbani mwa Baali; ikajaa nyumba ya Baali tangu mlango hata mlango.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 10

Mtazamo 2 Fal. 10:21 katika mazingira