2 Fal. 12:7 SUV

7 Ndipo mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani, na makuhani wengine, akawauliza, Mbona hamtengenezi mabomoko ya nyumba? Basi sasa msipokee tena fedha kwa hao mwajuao, lakini itoeni kwa ajili ya mabomoko ya nyumba.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 12

Mtazamo 2 Fal. 12:7 katika mazingira