2 Fal. 13:12 SUV

12 Basi mambo yote ya Yehoashi yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake aliopigania na Amazia mfalme wa Yuda, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli?

Kusoma sura kamili 2 Fal. 13

Mtazamo 2 Fal. 13:12 katika mazingira