2 Fal. 14:27 SUV

27 Wala BWANA hakusema ya kwamba atalifuta jina la Israeli litoke chini ya mbingu; lakini akawaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 14

Mtazamo 2 Fal. 14:27 katika mazingira