2 Fal. 15:16 SUV

16 Ndipo Menahemu akapiga Tifsa, na wote waliokuwamo, na mipaka yake, toka Tirza; kwa sababu hawakumfungulia, kwa hiyo akaupiga; nao wanawake wote waliokuwamo wenye mimba akawapasua.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 15

Mtazamo 2 Fal. 15:16 katika mazingira