2 Fal. 17:6 SUV

6 Katika mwaka wa kenda wa Hoshea, huyo mfalme wa Ashuru akautwaa Samaria, akawahamisha Israeli mpaka Ashuru, akawaweka katika Hala na Habori, karibu na mto wa Gozani, na katika miji ya Wamedi.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 17

Mtazamo 2 Fal. 17:6 katika mazingira