2 Fal. 18:22 SUV

22 Lakini mkiniambia, Tunamtumaini BWANA, Mungu wetu; je! Si yeye ambaye Hezekia ameondoa mahali pake pa juu, na madhabahu zake, akawaambia watu wa Yuda na Yerusalemu, Sujuduni mbele ya madhabahu hii hapa Yerusalemu?

Kusoma sura kamili 2 Fal. 18

Mtazamo 2 Fal. 18:22 katika mazingira