2 Fal. 19:28 SUV

28 Kwa sababu ya kunighadhibikia kwako, na kwa sababu kutakabari kwako kumefika masikioni mwangu; kwa sababu hiyo nitatia kulabu yangu puani mwako, na hatamu yangu midomoni mwako, nami nitakurudisha nyuma kwa njia ile ile uliyoijia.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 19

Mtazamo 2 Fal. 19:28 katika mazingira