2 Fal. 22:20 SUV

20 Kwa hiyo tazama, nitakukusanya pamoja na baba zako, nawe utawekwa kaburini mwako kwa amani; wala macho yako hayatauona uovu huo wote nitakaouleta juu ya mahali hapa. Basi wakamletea mfalme habari tena.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 22

Mtazamo 2 Fal. 22:20 katika mazingira