2 Fal. 23:11 SUV

11 Akawaondoa farasi ambao wafalme wa Yuda waliwatoa kwa jua, hapo pa kuingia nyumbani mwa BWANA, karibu na chumba cha Nathan-Meleki, towashi, kilichohuwako kiungani; akayapiga moto magari ya jua.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 23

Mtazamo 2 Fal. 23:11 katika mazingira