2 Fal. 25:13 SUV

13 Na zile nguzo za shaba zilizokuwako nyumbani mwa BWANA, na matako, na ile bahari ya shaba, iliyokuwamo nyumbani mwa BWANA, Wakaldayo wakavivunja vipande vipande, wakaichukua shaba yake yote mpaka Babeli.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 25

Mtazamo 2 Fal. 25:13 katika mazingira