2 Fal. 25:19 SUV

19 na katika mji akamtwaa towashi mmoja, aliyewasimamia watu wa vita; na watu watano katika wale waliosimama mbele ya mfalme, walioonekana mjini; na katibu wa jemadari wa jeshi, aliyewaandika watu wa nchi; na watu sitini katika watu wa nchi, walioonekana mjini.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 25

Mtazamo 2 Fal. 25:19 katika mazingira