2 Fal. 3:9 SUV

9 Basi mfalme wa Israeli akaenda, na mfalme wa Yuda, na mfalme wa Edomu; wakazunguka mwendo wa siku saba; wala hapakuwa na maji kwa jeshi, wala kwa wanyama waliowafuata.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 3

Mtazamo 2 Fal. 3:9 katika mazingira