2 Fal. 4:13 SUV

13 Akamwambia, Sema naye sasa, Tazama, wewe umetutunza sana namna hii; utendewe nini basi? Je! Uombewe neno kwa mfalme, au kwa amiri wa jeshi? Yule mwanamke akamjibu, Mimi ninakaa katika watu wangu mwenyewe.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 4

Mtazamo 2 Fal. 4:13 katika mazingira