2 Fal. 4:25 SUV

25 Basi akaenda, akafika kwa yule mtu wa Mungu, katika mlima wa Karmeli. Ikawa, yule mtu wa Mungu alipomwona kwa mbali, akamwambia Gehazi mtumishi wake, Tazama, Mshunami yule kule.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 4

Mtazamo 2 Fal. 4:25 katika mazingira