2 Fal. 4:27 SUV

27 Naye alipofika kwa yule mtu wa Mungu kilimani, alimshika miguu. Gehazi akakaribia amwondoe; lakini mtu wa Mungu akamwambia, Mwache; maana roho yake ndani yake ina uchungu; na BWANA amenificha, wala hakuniambia.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 4

Mtazamo 2 Fal. 4:27 katika mazingira