2 Fal. 4:34 SUV

34 Akapanda juu ya kitanda, akajilaza juu ya mtoto, akaweka kinywa chake juu ya kinywa chake, na macho yake juu ya macho yake, na mikono yake juu ya mikono yake; akajinyosha juu yake; mwili wake yule mtoto ukaanza kupata moto.

Kusoma sura kamili 2 Fal. 4

Mtazamo 2 Fal. 4:34 katika mazingira